Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 6th July 2026


Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026

Mabao mawili ya mshambuliaji wa Norway na Timu ya Manchester City , Erling Braut Halland yametosha kutamatisha safari ya Brazil kombe la Dunia 2026 .

Mabao hayo aliyoyafunga katika mchezo wa Leo yanafanya Norway kutinga robo fainali na kuweka historia kwa mara ya kwanza taifa ilo kufika hatua hiyo katika mashindano ya kombe la Dunia Tokea Taifa ilo lianze kushiriki fainali hizo .

Pia mabao hayo yanamfanya Halland kufikisha jumla ya mabao 7 katika fainali za kombe la Dunia 2026 ambapo kwa sasa analingana na Lionel Messi na Klyian Mbappe ambao wote Wana mabao 7 pia.


  

More Stories

Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Today, READ MORE β†’
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Today, READ MORE β†’
Azam yacharuka ,  Haraka yakamilisha sajili za winga hatari
Azam yacharuka , Haraka yakamilisha sajili za winga hatari
Today, READ MORE β†’
Mbeya City yatamba Mbeya Derby , Prison Ikitapatapa
Mbeya City yatamba Mbeya Derby , Prison Ikitapatapa
Today, READ MORE β†’
Paredi la Simba lakatisha Jangwani, utani wa jadi watawala
Paredi la Simba lakatisha Jangwani, utani wa jadi watawala
Today, READ MORE β†’
Nani anasema uwanja wa Yanga ni siasa? Hersi aweka wazi mchakato wa ujenzi
Nani anasema uwanja wa Yanga ni siasa? Hersi aweka wazi mchakato wa ujenzi
Today, READ MORE β†’
Haina kupoa, Brazil kukutana uso kwa uso na Norway kwenye fainali ya wc26
Haina kupoa, Brazil kukutana uso kwa uso na Norway kwenye fainali ya wc26
Today, READ MORE β†’
Jamal Bakhresa ailalamikia bodi ya ligi na TFF kuhusu Azam fc
Jamal Bakhresa ailalamikia bodi ya ligi na TFF kuhusu Azam fc
Today, READ MORE β†’
France wafuzu robo fainali kombe la dunia 2026, Rasmi kukutana na Morroco
France wafuzu robo fainali kombe la dunia 2026, Rasmi kukutana na Morroco
Today, READ MORE β†’
Morroco wafuzu Robo fainali kombe la dunia 2026, Akiwaondoa wenyeji Canada
Morroco wafuzu Robo fainali kombe la dunia 2026, Akiwaondoa wenyeji Canada
Yesterday, READ MORE β†’