Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 6th July 2026


Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger

Azam FC imekamilisha usajili wa winga wa Ivory Coast, Kipre Jr (26), kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu wa mashindano wa 2026/27.

Kipre Jr anarejea Chamazi kwa mara nyingine baada ya kupita misimu miwili tangu alipoondoka Azam FC na kujiunga na klabu ya MC Alger ya Algeria.

Kwa mujibu wa makubaliano ya usajili huo, MC Alger imekubali kumuuza mchezaji huyo kwa Azam FC huku ikiweka kipengele kitakachowapa asilimia 30 ya ada ya uhamisho endapo Azam FC watamuuza Kipre Jr kwenda klabu nyingine siku zijazo.


  

More Stories

Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo
Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo
Today, READ MORE β†’
Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana
Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana
Today, READ MORE β†’
Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger
Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger
Today, READ MORE β†’
Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana
Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana
Today, READ MORE β†’
England yaiondoa Mexico Kombe la Dunia, sasa kuvaana na Norway robo fainali
England yaiondoa Mexico Kombe la Dunia, sasa kuvaana na Norway robo fainali
Today, READ MORE β†’
Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Today, READ MORE β†’
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Today, READ MORE β†’
Azam yacharuka, haraka yakamilisha sajili za winga hatari
Azam yacharuka, haraka yakamilisha sajili za winga hatari
Today, READ MORE β†’
Mbeya City yatamba Mbeya Derby , Prison Ikitapatapa
Mbeya City yatamba Mbeya Derby , Prison Ikitapatapa
Today, READ MORE β†’
Paredi la Simba lakatisha Jangwani, utani wa jadi watawala
Paredi la Simba lakatisha Jangwani, utani wa jadi watawala
Today, READ MORE β†’