Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 6th July 2026


Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger

Azam FC imekamilisha usajili wa winga wa Ivory Coast, Kipre Jr (26), kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu wa mashindano wa 2026/27.

Kipre Jr anarejea Chamazi kwa mara nyingine baada ya kupita misimu miwili tangu alipoondoka Azam FC na kujiunga na klabu ya MC Alger ya Algeria.

Kwa mujibu wa makubaliano ya usajili huo, MC Alger imekubali kumuuza mchezaji huyo kwa Azam FC..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Doumbia anahitaji bao moja tu atulize presha
Doumbia anahitaji bao moja tu atulize presha
Today, READ MORE β†’
Viongozi wa Yanga na Simba waungana kumuaga aliyekuwa Rais wa Yanga, Francis Kifukwe
Viongozi wa Yanga na Simba waungana kumuaga aliyekuwa Rais wa Yanga, Francis Kifukwe
Today, READ MORE β†’
Girumugisha aeleza jinsi dili lake la Yanga lilivyokwama
Girumugisha aeleza jinsi dili lake la Yanga lilivyokwama
Today, READ MORE β†’
Fiston Mayele aanza ukurasa mpya Al Ahli Tripoli
Fiston Mayele aanza ukurasa mpya Al Ahli Tripoli
Today, READ MORE β†’
Sowah ameanza msimu na gia ya juu, mechi mbili mabao mawili
Sowah ameanza msimu na gia ya juu, mechi mbili mabao mawili
Today, READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 16, August 20 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 16, August 20 2026
Today, READ MORE β†’
NBC Premier league kuendelea leo kwa michezo mitatu ya kibabe.
NBC Premier league kuendelea leo kwa michezo mitatu ya kibabe.
Today, READ MORE β†’
Ibraheem Jabaar akiri kosa lake baada ya kadi nyekundu dhidi ya Pamba Jiji
Ibraheem Jabaar akiri kosa lake baada ya kadi nyekundu dhidi ya Pamba Jiji
Today, READ MORE β†’
Uchambuzi Yanga vs Coastal Union
Uchambuzi Yanga vs Coastal Union
Today, READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Hizi hapa ni odds za uhakika, treni la wiki mbili
Xtra 90 Bets : Hizi hapa ni odds za uhakika, treni la wiki mbili
Today, READ MORE β†’