Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 6th July 2026


Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana

Nyota wa Yanga, Kibwana Shomari, amefichua kuwa jambo la kwanza alilofanya baada ya kupokea mshahara wake wa kwanza akiwa Mtibwa Sugar ni kumnunulia mama yake nyumba.

Shomari amesema Mama yake hakuwa na makazi yake binafsi na alikuwa akiishi kwa ndugu, hali iliyompa msukumo mkubwa wa kubadilisha maisha yake mara tu alipoanza kupata kipato kupitia soka la kulipwa.

"Nilipopokea mshahara wangu wa kwanza nikiwa Mtibwa Sugar, nilimnunulia mama yangu nyumba. Hakuwa na sehemu yake ya kuishi, alikuwa anaishi kwa ndugu," amesema Shomari.

Simulizi hiyo ya kugusa hisia inaonyesha namna ambavyo wachezaji wengi hutumia mafanikio yao kurejesha fadhila kwa familia zao, hususan wazazi waliowalea na kuwaunga mkono katika safari yao ya kufikia mafanikio.


  

More Stories

Rais Samia Suluhu Hassan amtembelea Pacome Hospitalini leo
Rais Samia Suluhu Hassan amtembelea Pacome Hospitalini leo
Today, READ MORE β†’
Pablo Franco Martinez aandika historia Morocco, MAS Fez watwaa ubingwa baada ya miaka 41
Pablo Franco Martinez aandika historia Morocco, MAS Fez watwaa ubingwa baada ya miaka 41
Today, READ MORE β†’
Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo
Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo
Today, READ MORE β†’
Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana
Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana
Today, READ MORE β†’
Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger
Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger
Today, READ MORE β†’
Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana
Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana
Today, READ MORE β†’
England yaiondoa Mexico Kombe la Dunia, sasa kuvaana na Norway robo fainali
England yaiondoa Mexico Kombe la Dunia, sasa kuvaana na Norway robo fainali
Today, READ MORE β†’
Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Today, READ MORE β†’
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Today, READ MORE β†’
Azam yacharuka, haraka yakamilisha sajili za winga hatari
Azam yacharuka, haraka yakamilisha sajili za winga hatari
Today, READ MORE β†’