Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 6th July 2026


Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo

Kama mipango ya klabu ya Simba SC haitabadilika, basi timu hiyo inaweza kutumia michuano ya CECAFA Kagame Cup kama sehemu ya maandalizi ya msimu mpya (pre-season), kutokana na ratiba kubana na kutokuwepo kwa muda wa mapumziko marefu.

Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, Crencentius Magori, amesema klabu inahitaji kuhakikisha maandalizi ya msimu ujao yanaanza mapema, hususan kwa kusajili wachezaji wapya mapema ili kumsaidia kocha Steve Barker kujenga muunganiko imara wa kikosi kabla ya mashindano ya CAF kuanza.

Magori amesema baada ya mapumziko mafupi na kuongeza wachezaji wachache katika maeneo muhimu, Simba itachanganya maandalizi ya msimu ujao na michuano ya Kagame Cup ili kujiweka sawa kwa msimu wa 2026/27.

Amesema: β€œTutacombine maandalizi ya msimu ujao (pre-season) pamoja na CECAFA Kagame Cup ili kujiandaa na mashindano ya 2026/27.”


  

More Stories

Mpango wa Yanga kumpata Fadlu Davids wagonga mwamba
Mpango wa Yanga kumpata Fadlu Davids wagonga mwamba
Today, READ MORE β†’
Rais Samia Suluhu Hassan amtembelea Pacome Hospitalini leo
Rais Samia Suluhu Hassan amtembelea Pacome Hospitalini leo
Today, READ MORE β†’
Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo
Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo
Today, READ MORE β†’
Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana
Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana
Today, READ MORE β†’
Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger
Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger
Today, READ MORE β†’
Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana
Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana
Today, READ MORE β†’
Pablo Franco Martinez aandika historia Morocco, MAS Fez watwaa ubingwa baada ya miaka 41
Pablo Franco Martinez aandika historia Morocco, MAS Fez watwaa ubingwa baada ya miaka 41
Today, READ MORE β†’
England yaiondoa Mexico Kombe la Dunia, sasa kuvaana na Norway robo fainali
England yaiondoa Mexico Kombe la Dunia, sasa kuvaana na Norway robo fainali
Today, READ MORE β†’
Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Today, READ MORE β†’
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Today, READ MORE β†’