Tottenham Hotspur wamekamilisha rasmi usajili wa kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Italia, Sandro Tonali, kutoka Newcastle United katika dili kubwa linaloripotiwa kufikia takribani pauni milioni 100.
Usajili huo unakuwa miongoni mwa mikataba mikubwa zaidi katika historia ya klabu hiyo, huku ukithibitisha azma ya Spurs kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu..... download Xtra 90 App



