Soka la Tanzania linatarajiwa kuingia katika enzi mpya ya matumizi ya teknolojia baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutangaza mpango wa kuanza kutumia mfumo wa Video Support (VS) katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kuanzia msimu wa 2026/27.
Mfumo huo, ambao umeidhinishwa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), unakusudiwa kusaidia waamuzi kufanya maamuzi sahihi..... download Xtra 90 App



