Kiungo wa kimataifa wa Nigeria, Morice Chukwu (23), kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kumalizika kwa mkataba wake na Singida Black Stars, jambo linalofungua milango ya kujiunga na klabu nyingine katika dirisha hili la usajili.
Taarifa zinaeleza kuwa menejimenti ya Chukwu imekataa ofa ya kwanza ya Singida Black Stars ya kumpa mkataba mpya wa miaka minne, ikionyesha kutoridhishwa na..... download Xtra 90 App



