Shirikisho la Soka la Misri (EFA) limewasilisha rasmi malalamiko kwa FIFA likitaka kufanyika kwa uchunguzi kuhusu maamuzi ya waamuzi katika mchezo wao wa hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Argentina, uliomalizika kwa ushindi wa Argentina wa mabao 3-2.
Kwa mujibu wa taarifa za shirikisho hilo, viongozi wa Misri wanaamini kuwa kulikuwa na maamuzi kadhaa muhimu ya uamuzi..... download Xtra 90 App



