Manchester United yafikia Makubaliano Kumsajili Andrey Santos wa Chelsea

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 8th July 2026


Manchester United yafikia Makubaliano Kumsajili Andrey Santos wa Chelsea

Manchester United wamefikia makubaliano na Chelsea kuhusu usajili wa kiungo wa Brazil, Andrey Santos, katika dirisha la usajili la kiangazi. Kwa mujibu wa taarifa, United watatoa pauni milioni 48 kama ada ya awali, huku pauni milioni mbili zikiongezwa kulingana na masharti yaliyowekwa kwenye mkataba.

Taarifa zinaeleza kuwa masharti binafsi kati ya Santos na Manchester United tayari..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Geita Gold yamuangushia Kagera Sugar kipigo cha paka mwizi.
Geita Gold yamuangushia Kagera Sugar kipigo cha paka mwizi.
Today, READ MORE β†’
Simba yaendeleza ushindi wa asilimia 100 ugenini
Simba yaendeleza ushindi wa asilimia 100 ugenini
Today, READ MORE β†’
Simba bado nidhamu ya mchezo ipo chini, kadi nyekundu ya tatu mfululizo yawatokea
Simba bado nidhamu ya mchezo ipo chini, kadi nyekundu ya tatu mfululizo yawatokea
Today, READ MORE β†’
Highlights : Singida BS 1-2 Simba
Highlights : Singida BS 1-2 Simba
Today, READ MORE β†’
TFF yamfungia kiongozi wa Azam FC Jamal Bakhresa kujihusisha na soka kwa mwaka mmoja
TFF yamfungia kiongozi wa Azam FC Jamal Bakhresa kujihusisha na soka kwa mwaka mmoja
Today, READ MORE β†’
Manchester United yaanza msimu kwa kipigo dhidi ya Hull City
Manchester United yaanza msimu kwa kipigo dhidi ya Hull City
Today, READ MORE β†’
Bakhresa afungiwa mwaka mmoja kujihusisha na soka
Bakhresa afungiwa mwaka mmoja kujihusisha na soka
Today, READ MORE β†’
Kamati ya saa 72 yashusha rungu matukio mbalimbali
Kamati ya saa 72 yashusha rungu matukio mbalimbali
Today, READ MORE β†’
Yanga Watoa Pole Kufuatia Kifo cha Ramadhani Mganda
Yanga Watoa Pole Kufuatia Kifo cha Ramadhani Mganda
Today, READ MORE β†’
Manchester United Yakaribia Kukamilisha Usajili wa Carlos Baleba
Manchester United Yakaribia Kukamilisha Usajili wa Carlos Baleba
Today, READ MORE β†’