Mshambuliaji wa Timu ya taifa Morocco , Ismael Saibari anatajwa kukosa mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Ufaransa utakaochezwa hii Leo , kufuatia kusumbuliwa na jeraha la misuli nyuma ya paja .
Saibari ambae ndie kinara wa mabao katika kikosi Cha Morocco baada ya kufungia Taifa ilo mabao matatu , alipata jeraha hilo katika mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Canada na kuondolewa..... download Xtra 90 App



