International,Normal News,Morocco, France, WC2026

Morocco yapata pigo , Saibari Kuwakosa Ufaransa Leo

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
β€’
9 Jul 2026
Morocco yapata pigo , Saibari Kuwakosa Ufaransa Leo

Mshambuliaji wa Timu ya taifa Morocco , Ismael Saibari anatajwa kukosa mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Ufaransa utakaochezwa hii Leo , kufuatia kusumbuliwa na jeraha la misuli nyuma ya paja .

Saibari ambae ndie kinara wa mabao katika kikosi Cha Morocco baada ya kufungia Taifa ilo mabao matatu , alipata jeraha hilo katika mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Canada na kuondolewa dakika ya 22 ya mchezo huo .

Akizungumza kuelekea mchezo wa Leo Kocha mkuu wa Morocco , Mohammed Ouahbi amesema mshambuliaji huyo hataweza kucheza mchezo wa Leo lakini atarejea uwanjani ikiwa Taifa ilo litatinga hatua ya nusu fainali.

Mchezo wa Morocco dhidi ya Ufaransa unatajwa kuwa mchezo bora hatua ya robo fainali ambapo unatarajiwa kupigwa majira ya saa tano za usiku wa leo kwa saa za afrika mashariki .

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’