Baada ya kumalizika kwa msimu wa 2025/26, macho ya wadau wa soka sasa yanaelekezwa katika maandalizi ya msimu ujao, huku Simba SC ikionekana kuanza safari ya kujijenga mapema kuelekea mashindano ya 2026/27.
Kikosi hicho kinatarajiwa kufanya maboresho katika baadhi ya maeneo muhimu, sambamba na kuwapokea wachezaji wapya watakaoongeza ushindani ndani ya timu. Uwezo wa kocha Steve Barker pia..... download Xtra 90 App



