Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi ratiba ya usajili wa timu na wachezaji pamoja na kalenda ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) na Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwa msimu wa 2026/27. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, dirisha la kwanza la usajili lilianza Juni 25 na litafungwa Julai 25, 2026, likihusisha timu zitakazoshiriki hatua..... download Xtra 90 App



