Klabu ya Young Africans (Yanga) ipo katika hatua za mwisho za mazungumzo ya kumsajili beki wa kushoto wa Mouna FC ya Ivory Coast, Samba Koné, kuelekea msimu mpya wa mashindano. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 anatajwa kuwa miongoni mwa malengo makuu ya Yanga katika kuimarisha safu ya ulinzi.
Kwa mujibu wa taarifa, Koné anatarajiwa kumaliza mkataba wake na Mouna FC mwezi huu, hali..... download Xtra 90 App



