Yanga yashusha kocha kutoka Afrika Kusini

Joel JJ By Joel JJ β€’ 10th July 2026


Yanga yashusha kocha kutoka Afrika Kusini

Klabu ya Yanga imemtangaza raia wa Afrika Kusini, Manqoba Mngqithi, kuwa kocha mkuu mpya kuelekea maandalizi ya msimu wa 2026/27.

Mngqithi anatua Jangwani akiwa na uzoefu mkubwa wa kufundisha katika soka la Afrika, baada ya kufanya kazi kwa miaka kadhaa ndani ya klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.

Akiwa huko, alihudumu katika nafasi mbalimbali zikiwemo kocha msaidizi, kocha..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Spain yasonga kwenye nusu fainali kombe la dunia 2026, ikiiondoa ubelgiji
Spain yasonga kwenye nusu fainali kombe la dunia 2026, ikiiondoa ubelgiji
Today, READ MORE β†’
Yanga yashusha kocha kutoka Afrika Kusini
Yanga yashusha kocha kutoka Afrika Kusini
Today, READ MORE β†’
Mossi, Moalin wasepa na tuzo za ligi kuu Juni 2026
Mossi, Moalin wasepa na tuzo za ligi kuu Juni 2026
Today, READ MORE β†’
Simba yaidizi kete Yanga kwa winga hatari
Simba yaidizi kete Yanga kwa winga hatari
Today, READ MORE β†’
Yanga mbioni kumnasa Mrithi wa Boka
Yanga mbioni kumnasa Mrithi wa Boka
Today, READ MORE β†’
Mane astaafu timu ya Taifa Senegal
Mane astaafu timu ya Taifa Senegal
Today, READ MORE β†’
Makundi Kagame Cup hadharani , Simba kumenyana na Singida Black stars
Makundi Kagame Cup hadharani , Simba kumenyana na Singida Black stars
Today, READ MORE β†’
CAF Yatangaza Ratiba ya Usajili na Kalenda ya Mashindano Kimataifa Msimu wa 2026/27
CAF Yatangaza Ratiba ya Usajili na Kalenda ya Mashindano Kimataifa Msimu wa 2026/27
Today, READ MORE β†’
Rasmi Simba Kushiriki Cecafa Kagame Cup Nchini Rwanda
Rasmi Simba Kushiriki Cecafa Kagame Cup Nchini Rwanda
Today, READ MORE β†’
Ufaransa waiondoa Morroco kwenye michuano ya kombe la dunia 2026, wakifuzu nusu fainali
Ufaransa waiondoa Morroco kwenye michuano ya kombe la dunia 2026, wakifuzu nusu fainali
Today, READ MORE β†’