Safari ya kiungo wa kimataifa wa Congo Brazzaville, Innocent Loemba, ndani ya Simba SC inaelekea kufikia mwisho baada ya taarifa kueleza kuwa klabu hiyo ipo kwenye mchakato wa kuachana naye.
Loemba anatajwa kutokuwa sehemu ya mipango ya kocha mkuu Steve Barker kuelekea msimu mpya, huku benchi la ufundi likiwa kwenye mchakato wa kusafisha na kuunda upya kikosi chenye kuendana na falsafa ya..... download Xtra 90 App



