Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga SC, wameendelea na mipango yao ya kukiimarisha kikosi kuelekea msimu mpya kwa kasi ya kimya kimya, huku wakitajwa kuwa kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa walinzi wawili kutoka Mashujaa FC ya Kigoma.
Baada ya kufanya mabadiliko kwenye benchi la ufundi kwa kumtangaza kocha mkuu mpya Manqoba Mngqithi kuchukua nafasi ya Pedro Goncalves, ambaye..... download Xtra 90 App



