Timu ya taifa ya Uingereza imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Norway katika mchezo wa robo fainali uliochezwa usiku wa kuamkia leo.
Shujaa wa mchezo huo alikuwa Jude Bellingham aliyefunga mabao yote mawili ya Uingereza, likiwemo bao la ushindi katika dakika za nyongeza baada ya Norway kuonyesha upinzani mkali...... download Xtra 90 App



