Mabingwa watetezi Argentina wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Uswisi mabao 3-1 katika mchezo wa robo fainali uliodumu kwa dakika 120, uliochezwa katika Uwanja wa Kansas City, Marekani.
Argentina ilianza kwa kasi na kupata bao la kuongoza mapema kupitia Alexis Mac Allister aliyefunga kwa kichwa dakika ya 10 baada ya mpira wa kona uliopigwa..... download Xtra 90 App



