Klabu ya Singida Black Stars (Singida BS) iko katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Pamba Jiji, Mathew Tegis, raia wa Kenya, katika harakati za kuimarisha safu yake ya ushambuliaji kuelekea msimu mpya.
Taarifa kutoka kwenye duru za usajili zinaeleza kuwa Singida BS na Pamba Jiji tayari zimefikia makubaliano kuhusu ada ya uhamisho wa mshambuliaji huyo ambaye msimu..... download Xtra 90 App



