Senegal yamfuta kazi Pape Thiaw baada ya kuboronga Kombe la Dunia

Joel JJ By Joel JJ β€’ 12th July 2026


Senegal yamfuta kazi Pape Thiaw baada ya kuboronga Kombe la Dunia

Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limeamua kusitisha kazi ya kocha mkuu wa timu ya taifa, Pape Bouna Thiaw, baada ya kampeni ya kusuasua katika Kombe la Dunia 2026.

Uamuzi huo umefikiwa baada ya Senegal kushindwa kufikia matarajio yaliyowekwa na mashabiki pamoja na viongozi wa soka nchini humo, huku timu hiyo ikitolewa katika hatua ya awali ya mtoano baada ya kupoteza mchezo muhimu..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Senegal yamfuta kazi Pape Thiaw baada ya kuboronga Kombe la Dunia
Senegal yamfuta kazi Pape Thiaw baada ya kuboronga Kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Simba yashusha beki kutoka Ivory Coast
Simba yashusha beki kutoka Ivory Coast
Today, READ MORE β†’
Singida BS yamnasa Tegisi
Singida BS yamnasa Tegisi
Today, READ MORE β†’
Dakika 120 za kibabe zaipeleka Argentina nusu fainali ya Kombe la Dunia
Dakika 120 za kibabe zaipeleka Argentina nusu fainali ya Kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’
Uingereza yatinga nusu fainali kombe la Dunia, yaichapa Norway 2-1
Uingereza yatinga nusu fainali kombe la Dunia, yaichapa Norway 2-1
Today, READ MORE β†’
Nyota wa Mamelodi Sundowns na Bafana Bafana, Jayden Adams Afariki Dunia
Nyota wa Mamelodi Sundowns na Bafana Bafana, Jayden Adams Afariki Dunia
Today, READ MORE β†’
Ni Uingereza au Norway kufuzu nusu fainali kombe la Dunia?
Ni Uingereza au Norway kufuzu nusu fainali kombe la Dunia?
Today, READ MORE β†’
Messi na kijiji chake wana kazi mbele ya Uswisi Alfajiri ya Jumapili
Messi na kijiji chake wana kazi mbele ya Uswisi Alfajiri ya Jumapili
Today, READ MORE β†’
Yanga yaibomoa Mashujaa Fc, yasajili wawili kwa mpigo
Yanga yaibomoa Mashujaa Fc, yasajili wawili kwa mpigo
Yesterday, READ MORE β†’
Loemba mambo magumu Simba, kupewa Thank You
Loemba mambo magumu Simba, kupewa Thank You
Yesterday, READ MORE β†’