Matumaini ya Simba SC kumsajili kipa wa timu ya Taifa ya Nigeria, Stanley Nwabali, yamefutika rasmi baada ya kipa huyo kurejea Chippa United . Simba ilikuwa ikimuwania Nwabali tangu alipomaliza mkataba wake na Chippa United miezi saba iliyopita, lakini juhudi za kuinasa saini yake zimegonga mwamba.
Leo Jumapili, Julai 12, 2026, Chippa United imetangaza rasmi kumrejesha kipa huyo na..... download Xtra 90 App



