Local,Normal News,Local,Normal News,International,Transfer News,SimbaSC,

Stanley Nwabali amerejea rasmi Chippa United, jambo lililozima matumaini ya Simba SC kumpata.

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu
β€’
12 Jul 2026
Stanley Nwabali amerejea rasmi Chippa United, jambo lililozima matumaini ya Simba SC kumpata.

Matumaini ya Simba SC kumsajili kipa wa timu ya Taifa ya Nigeria, Stanley Nwabali, yamefutika rasmi baada ya kipa huyo kurejea Chippa United . Simba ilikuwa ikimuwania Nwabali tangu alipomaliza mkataba wake na Chippa United miezi saba iliyopita, lakini juhudi za kuinasa saini yake zimegonga mwamba.

Leo Jumapili, Julai 12, 2026, Chippa United imetangaza rasmi kumrejesha kipa huyo na kumkaribisha tena ndani ya kikosi chake. Chippa FC ina furaha kumkaribisha tena Stanley Nwabali.

Baada ya muda ambao amekuwa nje, Nwabali amerejea katika Rasi ya Mashariki na tunamkaribisha sana. Nwabali anatajwa kuwa miongoni mwa makipa bora barani Afrika katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kiwango chake bora akiwa na timu ya Taifa ya Nigeria na katika michuano mbalimbali ya kimataifa.

Kwa hatua hiyo, Simba SC italazimika kuendelea kutafuta chaguo jingine la kipa kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya wa mashindano.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’