Polisi Tanzania imejiweka katika nafasi nzuri kurejea Ligi Kuu ya NBC baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa kwanza wa hatua ya mtoano uliochezwa Apo jana.
Mabao ya Polisi Tanzania yaliwekwa kimiani na Juhudu Philemon, Tariq Seif, Tatizo Shem na Emanuel Mpuka, huku Polisi Tanzania ikionyesha ubora mkubwa katika safu ya ushambuliaji na kutawala..... download Xtra 90 App



