Local,Normal News,Tanzania Prison, Polisi Tanzania, Simba, Yanga, NBC LEAGUE

Polisi Tanzania Yaichapa Tanzania Prisons 4-0, Yaweka Mguu Mmoja Ligi Kuu

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
β€’
13 Jul 2026
Polisi Tanzania Yaichapa Tanzania Prisons 4-0, Yaweka Mguu Mmoja Ligi Kuu

Polisi Tanzania imejiweka katika nafasi nzuri kurejea Ligi Kuu ya NBC baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa kwanza wa hatua ya mtoano uliochezwa Apo jana.

Mabao ya Polisi Tanzania yaliwekwa kimiani na Juhudu Philemon, Tariq Seif, Tatizo Shem na Emanuel Mpuka, huku Polisi Tanzania ikionyesha ubora mkubwa katika safu ya ushambuliaji na kutawala mchezo kwa vipindi vyote viwili.

Matokeo hayo yanaipa Polisi Tanzania faida kubwa kuelekea mchezo wa marudiano utakaochezwa Julai 16, 2026, ambapo Tanzania Prisons watakuwa wenyeji wakihitaji ushindi wa idadi kubwa ya mabao ili kufufua matumaini ya kubaki Ligi Kuu.

Kwa upande wa Tanzania Prisons, kipigo hicho kimewaacha katika wakati mgumu, huku wakilazimika kufanya kazi kubwa katika mchezo wa marudiano. Polisi Tanzania, kwa upande wao, wanahitaji kulinda tu faida hiyo ili kukamilisha hatua ya kusalia kwenye Ligi Kuu ya NBC msimu ujao.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
6h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
10h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
13h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
16h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
16h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
16h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
18h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
22h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’