Polisi Tanzania Yaichapa Tanzania Prisons 4-0, Yaweka Mguu Mmoja Ligi Kuu

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 13th July 2026


Polisi Tanzania Yaichapa Tanzania Prisons 4-0, Yaweka Mguu Mmoja Ligi Kuu

Polisi Tanzania imejiweka katika nafasi nzuri kurejea Ligi Kuu ya NBC baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa kwanza wa hatua ya mtoano uliochezwa Apo jana.

Mabao ya Polisi Tanzania yaliwekwa kimiani na Juhudu Philemon, Tariq Seif, Tatizo Shem na Emanuel Mpuka, huku Polisi Tanzania ikionyesha ubora mkubwa katika safu ya ushambuliaji na kutawala..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Deal done: Youri Tielemans sasa ni mali ya Red Devils.
Deal done: Youri Tielemans sasa ni mali ya Red Devils.
Today, READ MORE β†’
Nyota anaewaniwa na Yanga Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Rwanda
Nyota anaewaniwa na Yanga Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Rwanda
Today, READ MORE β†’
Historia yaandikwa, Timu nne bora duniani zote zatinga nusu fainali ya kombe la dunia 2026.
Historia yaandikwa, Timu nne bora duniani zote zatinga nusu fainali ya kombe la dunia 2026.
Today, READ MORE β†’
Polisi Tanzania Yaichapa Tanzania Prisons 4-0, Yaweka Mguu Mmoja Ligi Kuu
Polisi Tanzania Yaichapa Tanzania Prisons 4-0, Yaweka Mguu Mmoja Ligi Kuu
Today, READ MORE β†’
Stanley Nwabali amerejea rasmi Chippa United, jambo lililozima matumaini ya Simba SC kumpata.
Stanley Nwabali amerejea rasmi Chippa United, jambo lililozima matumaini ya Simba SC kumpata.
Today, READ MORE β†’
Aliyekuwa golikipa wa Yanga Sc Clause Kindoki afariki dunia kwa ajali ya pikipiki
Aliyekuwa golikipa wa Yanga Sc Clause Kindoki afariki dunia kwa ajali ya pikipiki
Today, READ MORE β†’
Senegal yamfuta kazi Pape Thiaw baada ya kuboronga Kombe la Dunia
Senegal yamfuta kazi Pape Thiaw baada ya kuboronga Kombe la Dunia
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yashusha beki kutoka Ivory Coast
Simba yashusha beki kutoka Ivory Coast
Yesterday, READ MORE β†’
Singida BS yamnasa Tegisi
Singida BS yamnasa Tegisi
Yesterday, READ MORE β†’
Dakika 120 za kibabe zaipeleka Argentina nusu fainali ya Kombe la Dunia
Dakika 120 za kibabe zaipeleka Argentina nusu fainali ya Kombe la Dunia
Yesterday, READ MORE β†’