Kombe la Dunia 2026 limeandika historia mpya baada ya timu nne zinazoshika nafasi za juu katika viwango vya FIFA kufuzu zote hatua ya nusu fainali kwa mara ya kwanza kabisa. Ufaransa , Argentina , Hispania na England zimefanikiwa kutimiza matarajio yao na sasa zinabaki hatua mbili tu kufikia ubingwa wa dunia.
Kabla ya mashindano kuanza, FIFA ilitumia mfumo wa upangaji wa makundi (seeding)..... download Xtra 90 App



