Winga wa Al Hilal ya Sudan, Jean Giramugisha, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Rwanda kwa msimu wa 2025-26 katika hafla ya utoaji wa tuzo iliyofanyika usiku wa jana. Nyota huyo alitunukiwa tuzo hiyo baada ya kuonyesha kiwango bora msimu mzima, akijidhihirisha kuwa mmoja wa wachezaji waliokuwa na mchango mkubwa zaidi katika ligi hiyo.
Kiwango hicho kimezifanya klabu kadhaa..... download Xtra 90 App



