Local,Normal News,Al Hilal Omdurman, Yanga, Simba, Sporting Risbon

Nyota anaewaniwa na Yanga Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Rwanda

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
β€’
13 Jul 2026
Nyota anaewaniwa na Yanga Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Rwanda

Winga wa Al Hilal ya Sudan, Jean Giramugisha, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Rwanda kwa msimu wa 2025-26 katika hafla ya utoaji wa tuzo iliyofanyika usiku wa jana. Nyota huyo alitunukiwa tuzo hiyo baada ya kuonyesha kiwango bora msimu mzima, akijidhihirisha kuwa mmoja wa wachezaji waliokuwa na mchango mkubwa zaidi katika ligi hiyo.

Kiwango hicho kimezifanya klabu kadhaa kuanza kumwania, huku Yanga SC ikitajwa kuwa miongoni mwa vinara wa mbio za kumsajili. Mbali na mabingwa hao wa Tanzania, Giramugisha pia anaripotiwa kufuatiliwa na klabu kutoka mataifa mbalimbali nje ya Afrika, ikiwemo Sporting Lisbon ya Ureno, ambazo zinavutiwa na uwezo wake wa kucheza nafasi mbalimbali za ushambuliaji, kasi yake na ubunifu wake mbele ya lango.

Giramugisha kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kumalizika kwa mkataba wake na Al Hilal, hali inayomruhusu kufanya mazungumzo na klabu yoyote. Hata hivyo, nyota huyo anatarajiwa kuitumikia Al Hilal katika michuano ya CECAFA Kagame Cup kabla ya kufanya uamuzi kuhusu hatma ya maisha yake yasoka.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’