Je, Azam FC watakubali kulipa adhabu ya faini ya milioni 50?

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 14th July 2026


Je, Azam FC watakubali kulipa adhabu ya faini ya milioni 50?

Azam FC inatarajiwa kulipa faini ya shilingi milioni 50 baada ya Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutoa adhabu kufuatia kitendo cha wachezaji na benchi la ufundi kususia kupokea medali za washindi wa pili baada ya fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank.

Hatua hiyo imekuja baada ya Azam FC kuondoka bila kushiriki kikamilifu katika hafla ya utoaji wa..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Singida Black stars Kuingia Kambini Kesho kujiandaa na Msimu Mpya
Singida Black stars Kuingia Kambini Kesho kujiandaa na Msimu Mpya
Today, READ MORE β†’
TFF Yafuta Kanuni ya Mazoezi ya Mwisho kwa Timu Wageni Kabla ya Mechi
TFF Yafuta Kanuni ya Mazoezi ya Mwisho kwa Timu Wageni Kabla ya Mechi
Today, READ MORE β†’
Mwamuzi wa nusu fainali ya kwanza kombe la dunia 2026 awa gumzo kabla ya mechi.
Mwamuzi wa nusu fainali ya kwanza kombe la dunia 2026 awa gumzo kabla ya mechi.
Today, READ MORE β†’
FIFA Yaiondolea Yanga Marufuku ya Kusajili, Sasa Wako Huru
FIFA Yaiondolea Yanga Marufuku ya Kusajili, Sasa Wako Huru
Today, READ MORE β†’
Je, Azam FC watakubali kulipa adhabu ya faini ya milioni 50?
Je, Azam FC watakubali kulipa adhabu ya faini ya milioni 50?
Today, READ MORE β†’
Mason Greenwood mbioni kutua Fenerbahce kwa dili la kihistoria
Mason Greenwood mbioni kutua Fenerbahce kwa dili la kihistoria
Today, READ MORE β†’
Kibu Denis mbioni kutua CR Belouizdad
Kibu Denis mbioni kutua CR Belouizdad
Today, READ MORE β†’
Yanga wamuwania nyota chipukizi wa Al Hilal
Yanga wamuwania nyota chipukizi wa Al Hilal
Today, READ MORE β†’
Al Hilal wapokonywa ubingwa wa Ligi Kuu Sudan
Al Hilal wapokonywa ubingwa wa Ligi Kuu Sudan
Today, READ MORE β†’
Mapendo njiani kujiunga Singida Black Stars
Mapendo njiani kujiunga Singida Black Stars
Today, READ MORE β†’