Mwamuzi wa kimataifa kutoka El Salvador, Iván Barton, ambaye ameteuliwa kusimamia mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 kati ya Ufaransa na Hispania, ameibua mjadala kutokana na historia yake ya maamuzi yaliyowahi kuzua utata katika mashindano makubwa.
Moja ya matukio yaliyomweka kwenye wakati mgumu ni robo fainali ya CONCACAF Nations League 2023 kati ya Mexico na Honduras...... download Xtra 90 App



