Mabingwa watetezi wa Kombe la CECAFA Kagame Cup, Singida Black Stars, wanatarajiwa kuingia kambini kesho Jumatano, Julai 15, 2026, kuanza rasmi maandalizi ya msimu wa 2026/27. Uamuzi huo unakuja wakati klabu hiyo ikijiandaa kutetea taji la Kagame Cup pamoja na kushiriki mashindano ya ndani msimu ujao.
Singida Black Stars wanaingia kambini wakiwa mabingwa watetezi wa Kagame Cup baada ya..... download Xtra 90 App



