Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwa kushirikiana na kampuni ya vifaa vya michezo ya Adidas, wametangaza mpira maalumu utakaotumika kuanzia hatua ya nusu fainali hadi mchezo wa fainali wa Kombe la Dunia 2026.
Mpira huo unaoitwa Trionda Final ni toleo maalumu la mpira wa Trionda uliotumika katika hatua za makundi hadi robo fainali za mashindano hayo. Kwa mujibu wa Adidas, mpira huo..... download Xtra 90 App



