Klabu ya Simba SC imezidi kuonyesha ubabe katika soko la usajili baada ya kumsajili kiungo mshambuliaji tegemeo wa Sekhukhune United ya Afrika Kusini, Keletso Makgalwa (29), kuelekea msimu mpya wa mashindano.
Taarifa za ndani kutoka ndani ya Msimbazi zinathibitisha kuwa miamba hiyo ya soka nchini imefikia muafaka wa mwisho na klabu ya Sekhukhune United pamoja na mchezaji huyo mwenyewe,..... download Xtra 90 App



