Klabu ya Yanga SC imethibitisha kuwa maandalizi yake ya msimu wa 2026/27 yatafanyika katika kambi ya Avic Town, huku ikieleza kuwa hakutakuwa na safari ya kwenda nje kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya.
Akizungumza kuhusu maandalizi hayo, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe, amesema uongozi wa klabu umefanya tathmini ya ratiba iliyopo na kuamua kubaki Avic..... download Xtra 90 App



