Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Mohamed "Mo" Dewji, amekutana na Kocha Mkuu wa klabu hiyo, Steve Barker, nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kujadili maandalizi ya timu kuelekea msimu mpya wa 2026/27.
Katika kikao hicho, viongozi hao walijadili kwa kina maendeleo ya kambi ya maandalizi, hali ya kikosi, pamoja na mikakati ya kuendelea kukiimarisha ili Simba iwe na ushindani..... download Xtra 90 App



