Licha ya msimu uliopita kuhakikisha Mashujaa Fc inasalia kwenye ligi kuu ya NBC, kocha mkuu wa timu hiyo Jamhuri Kiwhelo 'Julio' hatma yake iko mashakani.
Taarifa kutoka chanzo cha uhakika imebainisha kuwa Mashujaa Fc wako sokoni kutafuta kocha mpya ambaye atachukua mikoba ya Julio.
Mashujaa Fc wamefanya mazungumzo na kocha wa Kagera Sugar Juma Kaseja ambaye hata hivyo waajiri wake..... download Xtra 90 App



