Local,Transfer News,Tetesi, Mashujaa

Julio njia panda Mashujaa Fc

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 Jul 2026
Julio njia panda Mashujaa Fc

Licha ya msimu uliopita kuhakikisha Mashujaa Fc inasalia kwenye ligi kuu ya NBC, kocha mkuu wa timu hiyo Jamhuri Kiwhelo 'Julio' hatma yake iko mashakani.

Taarifa kutoka chanzo cha uhakika imebainisha kuwa Mashujaa Fc wako sokoni kutafuta kocha mpya ambaye atachukua mikoba ya Julio.

Mashujaa Fc wamefanya mazungumzo na kocha wa Kagera Sugar Juma Kaseja ambaye hata hivyo waajiri wake wameweka ngumu kumuachia.

Baada ya kumkosa Kaseja, Mashujaa Fc sasa wamegeukia kwa Mecky Mexime ambaye hana timu tangu alipoachana na Mbeya City msimu uliopita.

Maafande hao pia wamefanya mazungumzo na kocha wa zamani wa Dodoma Jiji,Amani Richard Josiah.

Inaelezwa mkataba wa Julio na Mashujaa Fc ulimalizika mwishoni mwa msimu uliopita na hakuna mazungumzo yaliyofanyika kuhuisha mkataba wakati timu hiyo ikitarajiwa kuingia mazoezini hivi karibuni kuanza maandalizi ya msimu mpya.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
4h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
10h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
12h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
14h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’