Macho ya mashabiki wa soka duniani yameelekezwa kwenye pambano kubwa la nusu fainali kati ya England na Argentina, mchezo ambao utaamua timu ya pili itakayofuzu kucheza fainali ya Kombe la Dunia dhidi ya Hispania.
Baada ya Hispania kufanikiwa kufika fainali kwa kuifunga Ufaransa mabao 2-0 katika nusu fainali, sasa England na Argentina zinabaki na jukumu moja kubwa kupigania nafasi ya..... download Xtra 90 App



