Klabu ya Simba SC imefanikiwa kuongeza muda wa huduma ya mshambuliaji wake Suleiman Mwalimu Gomez baada ya kufikia makubaliano mapya na klabu ya Wydad AC ya Morocco kuhusu mkataba wa mkopo wa msimu mzima.
Kwa mujibu wa taarifa, Mwalimu ataendelea kuvaa jezi ya Simba katika msimu wa 2026/27, huku klabu hiyo ikiendelea kunufaika na uwezo wake wa kufunga mabao na kusaidia safu ya..... download Xtra 90 App



