Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limezikabidhi zawadi za fedha kwa timu za taifa za vijana kufuatia mafanikio yao makubwa katika mashindano ya kimataifa.
Serengeti Boys wamekabidhiwa Shilingi milioni 500 baada ya kufuzu kwa mara ya kwanza kwenye Fainali za Kombe la Dunia la FIFA zitakazofanyika nchini Qatar, sambamba na kutinga fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U-17)..... download Xtra 90 App



