Serengeti Boys Walamba Milioni 500, Tanzanite Queens Wapokea Milioni 50

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 15th July 2026


Serengeti Boys Walamba Milioni 500, Tanzanite Queens Wapokea Milioni 50

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limezikabidhi zawadi za fedha kwa timu za taifa za vijana kufuatia mafanikio yao makubwa katika mashindano ya kimataifa.

Serengeti Boys wamekabidhiwa Shilingi milioni 500 baada ya kufuzu kwa mara ya kwanza kwenye Fainali za Kombe la Dunia la FIFA zitakazofanyika nchini Qatar, sambamba na kutinga fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U-17)..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Fiston Mayele atua Al Ahli Tripoli
Fiston Mayele atua Al Ahli Tripoli
Today, READ MORE β†’
Serengeti Boys Walamba Milioni 500, Tanzanite Queens Wapokea Milioni 50
Serengeti Boys Walamba Milioni 500, Tanzanite Queens Wapokea Milioni 50
Today, READ MORE β†’
Yanga yaendelea kujiweka sawa, yavuta kiungo Alphonce Mabula Msanga
Yanga yaendelea kujiweka sawa, yavuta kiungo Alphonce Mabula Msanga
Today, READ MORE β†’
Zidane kurithi mikoba ya Deschamps Ufaransa
Zidane kurithi mikoba ya Deschamps Ufaransa
Today, READ MORE β†’
England vs Argentina: nani anakwenda fainali?
England vs Argentina: nani anakwenda fainali?
Today, READ MORE β†’
Mwalimu aongeza mkataba wa mkopo Simba
Mwalimu aongeza mkataba wa mkopo Simba
Today, READ MORE β†’
Julio njia panda Mashujaa Fc
Julio njia panda Mashujaa Fc
Today, READ MORE β†’
Mo Dewji na Steve Barker wakutana Afrika Kusini, wajadili mipango mikubwa ya Simba
Mo Dewji na Steve Barker wakutana Afrika Kusini, wajadili mipango mikubwa ya Simba
Today, READ MORE β†’
Hispania yafuzu fainali kombe la dunia 2026, ikiwatoa Ufaransa
Hispania yafuzu fainali kombe la dunia 2026, ikiwatoa Ufaransa
Today, READ MORE β†’
Yanga yathibitisha kambi ya pre-season kufanyika Avic Town, hakutakuwa na safari ya nje
Yanga yathibitisha kambi ya pre-season kufanyika Avic Town, hakutakuwa na safari ya nje
Today, READ MORE β†’