Mabingwa watetezi Argentina wamefuzu rasmi kucheza fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya England katika mchezo wa nusu fainali uliokuwa na ushindani mkubwa. Matokeo hayo yanaifanya Argentina kuendelea na safari ya kutetea taji lao la dunia na kuweka miadi ya fainali dhidi ya Hispania.
England walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia Anthony Gordon dakika ya 55..... download Xtra 90 App



