Kocha wa zamani wa Azam FC, Youssoupha Dabo, ameteuliwa rasmi kuwa kocha mkuu mpya wa Timu ya Taifa ya Libya kwa mkataba wa mwaka mmoja. Shirikisho la Soka la Libya limethibitisha uteuzi huo, likimkabidhi jukumu la kuiongoza timu hiyo kuelekea mashindano yajayo ya kimataifa.
Dabo anachukua mikoba hiyo akiwa tayari anaifahamu vyema timu ya taifa ya Libya, baada ya kuwahi kuwa kocha..... download Xtra 90 App



