Aliyekuwa Kocha wa Azam FC, Ateuliwa Kuinoa Libya

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said • 16th July 2026


Aliyekuwa Kocha wa Azam FC,  Ateuliwa Kuinoa Libya

Kocha wa zamani wa Azam FC, Youssoupha Dabo, ameteuliwa rasmi kuwa kocha mkuu mpya wa Timu ya Taifa ya Libya kwa mkataba wa mwaka mmoja. Shirikisho la Soka la Libya limethibitisha uteuzi huo, likimkabidhi jukumu la kuiongoza timu hiyo kuelekea mashindano yajayo ya kimataifa.

Dabo anachukua mikoba hiyo akiwa tayari anaifahamu vyema timu ya taifa ya Libya, baada ya kuwahi kuwa kocha..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hatma ya Tanzania Prisons Kujulikana Leo Dhidi ya Polisi Tanzania.
Hatma ya Tanzania Prisons Kujulikana Leo Dhidi ya Polisi Tanzania.
Today, READ MORE →
Ripoti: Michael Olise anataka kujiunga na Real Madrid.
Ripoti: Michael Olise anataka kujiunga na Real Madrid.
Today, READ MORE →
FIFA yathibitisha onesho maalum la burudani fainali ya Kombe la Dunia 2026
FIFA yathibitisha onesho maalum la burudani fainali ya Kombe la Dunia 2026
Today, READ MORE →
Hussein Masalanga wa Yanga Atua Geita Gold FC
Hussein Masalanga wa Yanga Atua Geita Gold FC
Today, READ MORE →
Aliyekuwa Kocha wa Azam FC,  Ateuliwa Kuinoa Libya
Aliyekuwa Kocha wa Azam FC, Ateuliwa Kuinoa Libya
Today, READ MORE →
‘Waziri wa Raha’ astaafu kucheza soka la kulipwa.
‘Waziri wa Raha’ astaafu kucheza soka la kulipwa.
Today, READ MORE →
Sowah arejea Singida BS
Sowah arejea Singida BS
Today, READ MORE →
Argentina yaiondoa Uingereza kwenye kombe la dunia 2026, Wakitinga fainali.
Argentina yaiondoa Uingereza kwenye kombe la dunia 2026, Wakitinga fainali.
Today, READ MORE →
Rasmi Kipre Jr arejea Azam fc
Rasmi Kipre Jr arejea Azam fc
Today, READ MORE →
Fiston Mayele atua Al Ahli Tripoli
Fiston Mayele atua Al Ahli Tripoli
Today, READ MORE →