Nyota wa kimataifa wa Ufaransa, Michael Olise, ameripotiwa kuwa na nia ya kujiunga na Real Madrid katika dirisha hili la usajili, akiamini kuwa miamba hiyo ya Hispania ndiyo sehemu sahihi ya kupiga hatua nyingine kubwa katika maisha yake ya soka.
Kwa mujibu wa ripoti, Olise anaona kuchezea Real Madrid kama fursa ya kutimiza ndoto zake na kujiunga na moja ya klabu kubwa zaidi duniani...... download Xtra 90 App



