Klabu ya Singida Black Stars imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Marcel Canadi (28) raia wa Austria, katika hatua ya kuendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya wa mashindano.
Taarifa zinaeleza kuwa pande zote mbili zimekubaliana kusaini mkataba wa muda mfupi wa miezi sita, huku nyota huyo akitarajiwa kujiunga na kikosi hicho mara baada ya kukamilika kwa..... download Xtra 90 App



