Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemtangaza rasmi mwamuzi kutoka Slovenia, Slavko Vini, kuwa msimamizi wa mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia 2026 utakaowakutanisha Hispania na Argentina. Fainali hiyo itachezwa Jumapili, Julai 19, 2026, katika Uwanja wa MetLife, New Jersey, Marekani, kuanzia saa 4:00 usiku.
Vini, mwenye umri wa miaka 46, ni mwamuzi wa kimataifa wa FIFA tangu mwaka 2010..... download Xtra 90 App



