Klabu ya Yanga imefikia makubaliano ya kumuajiri kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini (Bafana Bafana) na klabu ya Crystal Palace ya Uingereza, Kagisho Dikgacoi, kuwa Kocha Msaidizi wa timu hiyo.
Dikgacoi anajiunga na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa pendekezo la Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi.
Anakuwa kocha msaidizi nafasi ambayo atahudumu sambamba..... download Xtra 90 App



