Klabu ya Misri ya Pyramids FC imemtangaza rasmi kocha raia wa Afrika Kusini, Rulani Mokwena, kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo kuelekea msimu wa 2026/27.
Mokwena anachukua mikoba hiyo akiwa na wasifu wa kuvutia katika ukocha, baada ya kujijengea sifa kama mmoja wa makocha vijana mahiri zaidi barani Afrika. Alipata mafanikio makubwa akiwa Mamelodi Sundowns, akiiongoza klabu hiyo kutwaa..... download Xtra 90 App



