Klabu ya Azam FC imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Enock Molia kutoka FC Saint-Γloi Lupopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ikiwa ni sehemu ya mipango ya kuimarisha kikosi kuelekea msimu mpya wa mashindano.
Molia ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa wachezaji waliokuwa na kiwango bora katika Ligi Kuu ya DR Congo, amefanikiwa kuvutia viongozi wa Azam FC kutokana na uwezo wake..... download Xtra 90 App



