Klabu ya Young Africans (Yanga) imethibitisha rasmi usajili wa kiungo mshambuliaji Juma Issa Abushiri, maarufu kama "Chuga Boy", kutoka Fountain Gate kwa mkataba wa miaka mitatu. Usajili huo unafunga mjadala uliodumu kwa muda kuhusu hatma ya nyota huyo, ambaye alikuwa akihusishwa na uwezekano wa kuhamia soka la Ulaya.
Chuga Boy anajiunga na Yanga baada ya pande zote mbili kufikia..... download Xtra 90 App



