Klabu ya Simba SC imemtambulisha rasmi kiungo mkabaji Kelvin Nashon kama mchezaji mpya wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao, baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili.
Nashon anajiunga na Wekundu wa Msimbazi akiwa mchezaji huru kufuatia kumalizika kwa mkataba wake na Singida Black Stars. Msimu uliopita, kiungo huyo alicheza kwa mkopo katika klabu ya Pamba Jiji, ambapo alionyesha kiwango..... download Xtra 90 App



