Baada ya dakika 120 za pambano kali na lenye ushindani mkubwa, Hispania imeandika historia kwa kutwaa Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa mabingwa watetezi Argentina bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliochezwa kwa kiwango cha juu.
Dakika 90 za kawaida zilimalizika kwa sare tasa ya 0-0, huku timu zote zikitengeneza nafasi kadhaa lakini zikishindwa kuzitumia kutokana na uimara wa safu za..... download Xtra 90 App



