FIFA imetangaza rasmi washindi wa tuzo binafsi za Kombe la Dunia 2026, huku mabingwa wapya wa dunia Hispania wakitawala jukwaa la tuzo baada ya nyota wao kutwaa tuzo tatu kati ya nne zilizotolewa kufuatia kumalizika kwa mashindano hayo.
Kiungo mahiri wa Hispania, Rodri, ametwaa tuzo ya Golden Ball baada ya kuongoza timu yake kwa kiwango bora kuanzia hatua ya makundi hadi kutwaa ubingwa wa..... download Xtra 90 App



