Usajili wa Kelvin Nashon unaonekana kuwa hatua ya Simba SC kuimarisha zaidi safu ya kiungo baada ya miaka ya mafanikio ya Mzamiru Yassin.
Ingawa Mzamiru ameondoka akiwa mmoja wa viungo bora kuwahi kuitumikia Simba, Nashon anaingia akiwa na sifa zinazomfanya aonekane kama upgrade katika baadhi ya maeneo ya kiufundi na kimwili.
MZAMIRU YASSIN





